Sanchez apiga zote mbili arsenal yaua 2-0 england - boazmwakasege.com

MADA MOTO

Saturday, February 11, 2017

Sanchez apiga zote mbili arsenal yaua 2-0 england

                                 

Nyota wa Arsenal, Alexis Sanchez akishangilia na wenzake Kieran Gibbs na Hector Bellerin baada ya kuifungia mabao yote mawili The Gunners katika ushindi wa 2-0 jioni ya leo dhidi ya Hull City Uwanja wa Emirates, London katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Sanchez alifunga bao la kwanza dakika ya 34 na la pili dakika 90 na ushei.

No comments:

Post a Comment