EXCLUSIVE: P SQUARE WATOA KAULI HII BAADA YA DIAMOND KUACHIA WIMBO WALIOFANYA WOTE,SOMA HAPA LIVEE - boazmwakasege.com

MADA MOTO

Tuesday, July 12, 2016

EXCLUSIVE: P SQUARE WATOA KAULI HII BAADA YA DIAMOND KUACHIA WIMBO WALIOFANYA WOTE,SOMA HAPA LIVEE


MUDA mfupi tu baada ya Diamond kuachia trak ya KIDOGO kupitia mitandao yake ya kijamii,staa wa kundi ya P square Peter Okoye amefunguka juu ya wimbo huo huku akisema kuwa ni wimbo mzuri kwao ambao wamewahi kuufanya.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram,Peter amesema wimbo huo huenda ukafnaya vema zaidi na kuzidi kushika kasi ndani na nje ya nchi.


Hata hivyo kwa upande wa mashabiki wa nyota huyo wamedai kuwa wimbo huo umewakosha huku wakitanabaisha kuwa huenda ukatikisa na kuzoa tuzo mbalimbali za nadni na nje ya Afrika

Source: blogu ya wananchi

VIDEO:

No comments:

Post a Comment