PICHA: 40 ya mtoto wa Diamond yafana - boazmwakasege.com

MADA MOTO

Sunday, February 12, 2017

PICHA: 40 ya mtoto wa Diamond yafana

                          
Msanii wa muziki Diamond Platnum Juamosi hii amefanya sherehe ya arobaini ya mwanaye Nillan ambapo kwa mara ya kwanza, mtoto huyo ameoneshwa sura hadharani katika sherehe ya aina yake, iliyofanyika nyumbani kwao, Madale jijini Dar es Salaam.

Nillan alizaliwa nchini Afrika Kusini, yalipo makazi ya mwanamama Zari na tangu kuzaliwa kwake,
 hakuwahi kuoneshwa sura hadharani hata siku moja mpaka siku ya arobaini yake.                          









No comments:

Post a Comment