Defoe Akubali Mtoto Bradley Kufia Mikono Mwake. - boazmwakasege.com

MADA MOTO

Sunday, February 12, 2017

Defoe Akubali Mtoto Bradley Kufia Mikono Mwake.

Mtoto Bradley Lowery akiwa na Defoe akisubiri muda utimie

Bradley na Defoe

SHABIKI wa Sunderland mtoto wa miaka mitano Bradly Lowery, aliomba muda utakapo timu mauti yamfike akiwa mikononi mwa Defoe. Madaktari  wamethitisha kuwa muda wowote kutoka hivi sasa mtoto Brandley ataaga dunia kutokana na kuugua kwa muda mrefu maradhi ya kansa.
Bradley akiwa uwanjani

Aidha meneja wa klabu hiyo bwana David Moyes amesema Bradley ni shabiki mkubwa sana wa klabu hiyo na amemchagua mchezaji huyo kwa kuwa ndiye mchezaji mwenye heshima kubwa sana kwenye klabu hiyo.

“Bradley loves Jermian and boys,” alisema meneja huyo wakisubiri muda utimie.

Hivyo Defoe amelala Bradley na muda wowote kutoka hivi sasa mtoto Bradley hatutokuwa naye duniani.

No comments:

Post a Comment