Operesheni tokomeza upinzani...... ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜
kesho atamtaja Lowassa. ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜
.
.
I'm sorry Sina la kuongea bado nimefreeze kusikia Mbowe
ametajwa..., Mwili umekufa ganzi... Mimi sio chadema wala sio fan Wa Mbowe
lakini akili imeniruka kusikia Mbowe katajwa, wakifanikiwa kumtake Mbowe down
basi na chadema imekwishaaaaa na 2020 hakutakuwa na Upinzani...... Dah
nimeishiwa Nguvu kabisaaaaaaaaa... yani ndo maana Magufuli anatujibu kunya kila
siku, anajua 2020 atakuwa kaumaliza upinzani......Magufuli na Makonda Mungu
Anawaona.ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜
.
.
Huyo gwajima kama kweli anauza madawa Mungu ndo anaejua sisi
hatujui lakini 100% gwajima wanamtaka sababu ndo mfadhili mkubwa wa
Chadema..... Anawapaga pesa nyingi sana kwenye kampeni, kuanzia wabunge huwa
anawafadhili...Anyways, Mimi Mbowe kutajwa ni kama msiba Yani its means Chadema
is over.... Wakiweza kumfunga mbowe Chadema is done.....
.
Yusuf Manji ni mtumiaji wa madawa... he is a user sio drug
dealer. Ila Yusuf Manji ndo mfadhili mkubwa wa Lowassa....Yani Manji ni mmoja
ya watu waliomfadhili Lowassa kwenye kampeni ya 2015. Although yeye ni CCM Ila
pesa ya lowassa kwenye siasa kwa kiasi kikubwa mnoooooo ni pesa ya Manji...
Manji ni old money , Manji kwao ubilionea ulianzia kwa Babu he is not a drug
dealer... Naombeni muingie google msearch Yusuf Manji and Lowassa ndo mtaelewa
Manji huwa anampa Lowassa pesa kiasi gani na zamani alikuwa anatoa pesa kwa
wagombea wa CCM hata Kikwete alimfadhili for the first time 2015 Manji
alimfadhili mgombea wa upinzani na sio Wa CCM....CCM kampeni ya 2015 wamekopa
mnoooo waliumia mnooo sababu financial backers waliondoka na Lowassa.....
.
Kusema ukweli nimeumia Leo kushinda hata ya Wema sababu hiii
ya Leo inawahikikishia CCM ushindi wa 2020 ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜lðŸ˜ðŸ˜... Basi nimekubali CCM ni akili kubwaaaaa.
Upinzani hawachomokiiiii 2020 sio kwa mkakati huuu. Dah is soooooo sad!
.
.
Na kawataka Ijumaa ili awalaze ndani mpaka Jumatatu... Aisee
Magufuli na Makonda ni dream couple....
No comments:
Post a Comment