Mohamed Abdullahi Farmajo ndiye rais mpya wa Somalia - boazmwakasege.com

MADA MOTO

Thursday, February 9, 2017

Mohamed Abdullahi Farmajo ndiye rais mpya wa Somalia


Baada ya masaa 5 ya shughuli ya kupiga kura,Mohamed Abdullahi Farmajo alitangazwa mshindi katika uchaguzi nchini Somalia hapo jana .

Farmajo alishinda kwa kura 184 na hivyo basi kuwa rais wa 9 wa nchi ya Somalia .

Rais mwendazake  Hassan Sheikh Mohamud alifuata kwa kura 97 kutoka kwa wabunge waliopiga kura hiyo.

Farmajo atachukua usukani na kuongoza kwa awamu nne nchini humo.


No comments:

Post a Comment