VIDEO NA PICHA: KAGERA SUGAR yafuzu mashindano ya {FA} kwa mikwaju ya penati dhidi ya Singida Utd. - boazmwakasege.com

MADA MOTO

Wednesday, January 25, 2017

VIDEO NA PICHA: KAGERA SUGAR yafuzu mashindano ya {FA} kwa mikwaju ya penati dhidi ya Singida Utd.


Januari ya Tarehe 25 mwaka 2017, mchezo kati ya Kagera Sugar na Singida Utd uliochezwa katika kiwanja cha NAMFUA mkoani Singida, Mchezo uliokuwa mgumu pande zote kwa dakika 90 na 5 za nyongeza, muamuzi wa mchezo alijikuta akifika katika hatua za Matuta{penati}.

Licha ya timu zote kuonyeshana ubabe katika dakika 90 za mchezo, ukweli ulikwenda kudhihirika katika mikwaju ya Penati.

Singida Utd walipata mikwaju mitatu{3}, kati ya mitano, dhidi ya waasimu wa Kagera Sugar walioshinda mikwaju minne {4} kati ya Mitano



NIMEKUSOGEZEA VIDEO MTU WANGU TAZAMA  MAGOLI KIPA WALIVYOWEZA KUDAKA PENATI KIUFUNDI NA USTADI WA HALI YA JUU, BONYEZA HAPA CHINI.

No comments:

Post a Comment