Mvua kubwa yasababisha uharibifu katka Mji wa Rwanda. - boazmwakasege.com

MADA MOTO

Monday, January 23, 2017

Mvua kubwa yasababisha uharibifu katka Mji wa Rwanda.

Mvua kubwa yasababisha uharibifu Rwanda

Mvua ambazo hazikutarajiwa zimeshuhudiwa katika mji wa Kigali nchini Rwanda na kusababisha uharibifu mkubwa wa mali na miundo msingi.

Idadi ya watu waliofariki bado haujulikani lakini kuna hofu kuwa huenda hadi watu watano wameaga dunia na wengine kadha kuachwa bila makao.


Takriban nyumba 800, zikiwemo shule, makaazi ya watu pamoja na barabara kadha vimesombwa. Mvua kubwa yasababisha uharibifu Rwanda

Mvua kubwa yasababisha uharibifu Rwanda

Mvua kubwa yasababisha uharibifu Rwanda

Mvua kubwa yasababisha uharibifu Rwanda

No comments:

Post a Comment