Pichaz: Waziri Mkuu Majaliwa na Spika Job Ndugai wamekutana kujadili maridhiano - boazmwakasege.com

MADA MOTO

Monday, September 5, 2016

Pichaz: Waziri Mkuu Majaliwa na Spika Job Ndugai wamekutana kujadili maridhiano


Ikiwa imesalia siku moja kabla ya mkutano wa nne wa bunge la kumi na moja kuanza hapo kesho September 6 2016 leo Waziri  Mkuu Kassim Majaliwa amekutana na Spika wa bunge Job Ndugai pamoja na viongozi wengine katika ofisi za bunge zilizopo Dodoma kwa lengo la kufanya kikao cha maridhiano ya vyama vyote.

picha zao tatu wakiwa katika mazungumzo;
PIC 4b
spika wa Bunge akiongoza maridhiano

PIC1
Waziri mkuu Kasimu Majaliwa akimsikiliza Spika wa Bunge

PIC3
Kutokea kushoto Waziri Jenista Mhagama, Spika wa bunge Job Ndugai na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa

No comments:

Post a Comment