SERIKALI
imesema ukarabati wa kivuko cha Mv Magogoni jijini Dar es Salaam, upo katika
hatua za mwisho na ifikapo katikati ya mwezi huu kitaanza tena kutoa huduma.
Kivuko hicho
kina uwezo wa kubeba abiria 2000 na magari 60 na kinatoa huduma eneo la Feri na
Kigamboni.
No comments:
Post a Comment