Wema Sepetu: Licha ya Idris Kuniacha, Nitazaa Nae Maana Ana Mapenzi ya Dhati. - boazmwakasege.com

MADA MOTO

Thursday, July 21, 2016

Wema Sepetu: Licha ya Idris Kuniacha, Nitazaa Nae Maana Ana Mapenzi ya Dhati.

post-feature-image
LICHA ya madai kuwa wapenzi wawili, Idris Sultan na Wema Sepetu wamemwagana, muigizaji huyo nyota na Miss Tanzania 2006, amesema anataka kuzaa na mshindi huyo wa Big Brother Hotshots 2014 kutokana na jinsi anavyojali na mwenye huruma nyingi.

Akiteta na Amani hivi karibuni, Wema alisema atajisikia fahari sana endapo mtoto wake wa kwanza angezaa na Idris kwa kuwa amemuonesha dhahiri kuwa ni baba bora.

ANGALIA GARI MPYA YA KIFAHARI ILIYOTENGENEZWA KWA TEKNOLOJIA YA JUU ZAIDI, BONYEZA HAPA CHINI KUONA:

No comments:

Post a Comment