Picha 5 Rais Magufuli akisubiri kupewa uenyekiti, Mrema naye ndani. - boazmwakasege.com

MADA MOTO

Saturday, July 23, 2016

Picha 5 Rais Magufuli akisubiri kupewa uenyekiti, Mrema naye ndani.


July 23 2016 wajumbe na wanachama wa chama cha mapinduzi CCM wameungana pamoja na baadhi ya wanachama wa vyama vingine vya upinzani kushuhudia tukio la kumpitisha Rais John Pombe Magufuli kuwa mwenyekiti wa CCM kuchukua nafasi ya mstaafu Dk. Jakaya Kikwete.


Moja ya wanachama wa upinzania mbaye kaonyesha ushiriki wake ni pamoja na aliyekuwa Mbunge wa Vunjo Augustine Mrema ambaye pia amekuwa kivutio cha wengi. Hapa nimekusogezea picha 8 za kwanza wakati kazi ikiendela.
                                Rais mstaafu awamu ya tatu Benjamin Mkapa

                           Mbunge wa zamani wa jimbo la Vunjo Augustine Mrema



                                           Mwenyekiti wa UDP John Cheyo








No comments:

Post a Comment