Mbwa adaiwa kuzaa nguruwe Iringa! - boazmwakasege.com

MADA MOTO

Thursday, July 14, 2016

Mbwa adaiwa kuzaa nguruwe Iringa!

Yawezekana kabisa kuna matukio umeshawahi kuyasikia au hata kuyashuhuduia mwenyewe na yakakushangaza, basi hii pia liongezee kwenye hayo mengine.
Geah Habib katuletea hii ya Mbwa kuzaa Nguruwe.

Mbwa mmoja Iringa amezaa mnyama aina ya Nguruwe, akielezea tukio hilo mwenye mbwa amesema waligundua kwamba mbwa huyo amezaa ngurume tangu juzi, baada ya mume na watoto wake kumjulisha hali hiyo na mara baada ya kushuhudia tukio hilo alitoa taarifa kwa uongozi wa mtaa huo pamoja na majirani huku akionesha kushtushwa na tukio hilo.

Daktari wa mifugo, Anthony Mwangolombe mara baada ya kupata taarifa kuhusu suala hilo walifika eneo la tukio na amesema kuwa jambo hilo hajawahi kuliona likitokea kwa mbwa.


KAMA HUKUONA YALE MAUAJI YA ASKARI 6WA KENYA NIMEKUSOGEZEA MTU WANGU!!

No comments:

Post a Comment