Cyrill Kamikaze Ayaandika Haya Baada ya WCB Kumkana Kuwa Ngoma Aliyoifanya Hajamshirikisha Raymond - boazmwakasege.com

MADA MOTO

Friday, June 3, 2016

Cyrill Kamikaze Ayaandika Haya Baada ya WCB Kumkana Kuwa Ngoma Aliyoifanya Hajamshirikisha Raymond

Cyrill Kamikaze ameachia ngoma mpya anayodai amemshirikisha msanii wa WCB, Raymond. Hata hivyo WCB imedai kutoutambua wimbo huo.


Meneja wa Diamond na mmoja wa wakurugenzi wa bodi ya label hiyo, Sallam Sharafflakini amedai kuwa wimbo huo uliandikwa na Ray kitambo baada ya kuombwa na rapper huyo.
Kutoka mkono wa kushoto mwanamuziki wa Mafikizolo ‘Theo Kgosinkwe’, Meneja wa Diamond Platnumz ‘Sallam Sharaff’, Mwanamuziki Raymond, Mwanamuziki Diamond Platnumz na kwanyuma ni mwanamuziki Harmonize.

“Hakuna Collabo na Raymond, alimuomba Ray amuandikie na apewe melody siku nyingi sana! Hiyo nyimbo hatuuitambui,” 

No comments:

Post a Comment