Watuhumiwa mauaji ya Bondia Mashali wafikishwa mahakamani kwa mara ya kwanza - boazmwakasege.com

MADA MOTO

Thursday, December 8, 2016

Watuhumiwa mauaji ya Bondia Mashali wafikishwa mahakamani kwa mara ya kwanza

October 31 2016 Tanzania ilimpoteza bondia maarufu wa ngumi za kulipwa  Thomas Mashali ambapo ilielezwa kuwa Marehemu Mashali alifariki usiku wa kuamkia October 31 2016 maeneo ya Kimara Dar es salaam kwa kushambuliwa na watu baada ya kusingiziwa ni mwizi na watu ambao aligombana nao.

Leo December 8 2016 kwa mara ya kwanza watuhumiwa wa mauaji ya bondia huyo wamefikishwa mahakama  ya hakimu mkazi Kinondoni na kusomewa shitaka hilo la mauaji, kesi hiyo itatajwa tena December 20 2016 na watuhumiwa wote wamerudishwa rumande.

No comments:

Post a Comment