Wengine
wanaotarajiwa kupewa tuzo kama hiyo kwa mchango wao kwenye filamu ni pamoja na
mhariri wa filamu za Uingereza, Anne V. Coates, muongozaji wa filamu Lynn
Stalmaster na muandishi wa makala Frederick Wiseman.
Rais wa jopo lililohusika kuwateuwa watu hao, Cheryl Boone
Isaacs amewataja watu hao kama ni waasisi halisi kwenye tasnia hiyo ya filamu.
“True pioneers and legends in their crafts,” amesema Cheryl.
Tuzo hizo zinatarajiwa kufanyika mwezi Novemba, mwaka huu huko Los Angeles.
Mwaka 2016 umekuwa wa neema kwa muigizaji huyo kutokana na hivi
karibuni kuorodheshwa kwenye jarida la Forbes kama muigizaji anayeshika namba
mbili kwa kulipwa zaidi kwenye filamu akiwa anaingiza kiasi cha $61m
KAMA BADO HUJASOMA KURASA ZA MAGAZETI YA LEO, NIMEKUSOGEZEA MTU WANGU
BONYEZA HAPA CHINI:
KAMA BADO HUJASOMA KURASA ZA MAGAZETI YA LEO, NIMEKUSOGEZEA MTU WANGU
BONYEZA HAPA CHINI:
No comments:
Post a Comment