Mrembo Wema
Sepetu ambaye jina lake July 11 2016 liliingia kwenye headlines baada ya kutoa
viatu vyenye brand ya jina lake, ameingia tena kwenye headlines baada ya kuamua
kumuandikia ujumbe Idris Sultan ambaye ni mpenzi wake kupitia ukurasa wake wa
Instagram.
Wema Sepetu
na Idris Sultan kulikuwa na tetesi kuwa hawapo katika maelewano mazuri lakini
usiku wa July 11 Wema Sepetu aliamua kuandika ujumbe kupitia ukurasa wake
instagram uliyolenga kudhihirisha furaha yake kuwa na Idris Sultan.
“Having you
as a friend, a brother, a lover & ofcourse a shoulder to cry on everytime
Im at my worst has been the best feeling ever… I wouldnt want to lose this feeling
over anything… I realised Without u then I aint complete…. You have stood by me
in good tyms and bad, & even when I messed up soooo bad you would look me
in the eyes and tell me, “Baby, its okay, we gon fix this”… Idris you have been
one of a kind and losing u is the last thing I want on this earth… I will love
you, until forever, until death do us part we will be together… I will hold on
to you till da last minute because together we will get there…. I love you with
my life…. For I believe you are my True Love, My baby, and Inshallah The Man
that my Kids will call Daddy… ❤️“
No comments:
Post a Comment