Filamu mpya ya Inspector J plus inayokwenda kwa jina la ""The Foundation"" bado siku chache iwe sokoni! - boazmwakasege.com

MADA MOTO

Wednesday, July 13, 2016

Filamu mpya ya Inspector J plus inayokwenda kwa jina la ""The Foundation"" bado siku chache iwe sokoni!

Muigizaji maarafu Nchini anayefahamika kwa jina la "Inspector J plus"(Jimmy Mponda) yupo mbioni kuachia movie yake mpya inayokwenda kwa jina la "'The Foundation"''  aliyomshirikisha mtaalamu 'Seba' nawengine wakali!!

Amesisitiza zaidi akisema >>>''kaenitayari kupokea kitu kizuri zaidi ambacho mtakipenda '''

No comments:

Post a Comment