BREAKING NEWSS:MABASI YA KAMPUNI YA CITY BOYS YA PATA AJALI MBAYA NA KUUWA - boazmwakasege.com

MADA MOTO

Monday, July 4, 2016

BREAKING NEWSS:MABASI YA KAMPUNI YA CITY BOYS YA PATA AJALI MBAYA NA KUUWA

Habari tulizozipata hivi punde kutoka Singida ni kwamba mabasi mawili ya kampuni ya City Boys yamegongana katika eneo la Maweni.
IMG-20160704-WA0027
Taarifa za awali zinasema kuwa watu zaidi ya 20 wamepoteza maisha papo hapo na wengine kadhaa kujeruhiwa..

ANGALIA PICHA ZINATISHA JAMAA AKAMATWA NA KICHWA CHA BINADAMU ===> BONYEZA HAPA KUONA

Ajali hiyo hiyo imetokea mchana huu ambapo kamanda wa polisi mkoa wa Singida amesema ajali hiyo imetokea wakati mmoja wa madereva akifanya mchezo wa kukwepesha  gari.

No comments:

Post a Comment