Aliyeongoza Jaribio la Mapinduzi Nchini Uturuki Akamatwa - boazmwakasege.com

MADA MOTO

Sunday, July 17, 2016

Aliyeongoza Jaribio la Mapinduzi Nchini Uturuki Akamatwa

Jenerali Erdal Ozturk (katikati) aliyekuwa kinara wa jaribio akiwa mikononi mwa wananchi.

Jenerali Erdal Ozturk aliyekuwa kinara wa jaribio lililoshindikana la mapinduzi ya rais nchini Uturuki amekamatwa, huku viongozi wengine wa mapinduzi hayo, saba wakifanikiwa kutoroka na kukimbilia nchi jirani ya Uturuki kwa kutumia Helikopta.

Jenerali Erdal Ozturk (kulia) enzi akiwa kazini.


Hata hivyo viongozi hao waliokimbilia nchini Uturuki wakiwemo mameja wawili, makapteni watano na raia mmoja wamekamatwa nchini humo kwa kile kilichoripotiwa kuingia nchini humo bila kibali.Jenerali Erdal Ozturk aliyekuwa kamanda mkuu wa kikosi namba tatu tayari amekamatwa na kuwekwa mahabusu wakati akisubiri hatma yake na huenda akanyongwa ikiwa atapatikana na hatia hiyo.


ANGALIA VIDEO HII ALAFU NIAMBIE INAKUKUMBUSHA WAPI..CHEKI HAPA USISAHAU KUSUBSCRIBE ILI KUPATA VIDEO NYINGI ZAIDI!

No comments:

Post a Comment