(PICHA 5): Ndanda Fc yatoa Sare ya 1-1 Dhidi ya Stendi utd-Singida. - boazmwakasege.com

MADA MOTO

Monday, January 9, 2017

(PICHA 5): Ndanda Fc yatoa Sare ya 1-1 Dhidi ya Stendi utd-Singida.

Picha:(1) Kikosi cha Stendi utd Singida.
Magoli yote mawili yamepatikana katika kipindi cha pili, Stendi utd ndio walioanza kujipatia bao kwa mkwaju wa penati kupitia mshambuliaji wao  Frank Kijoti baada ya dakika chache Ndanda Fc ilisawazisha goli hilo kupitia mshambuliaji wao Hamimu Hawadhi

Picha(2) Ni kikosi cha Ndanda Fc, kikiongozwa na nahodha Kigi Makasi.


Picha(3) Ni wachezaji wa Ndanda wakiwa katika mazoezi mepesi, kiwanja cha Namfua-Singida


Picha(4) Ni walinda mlango wa timu ya Stendi utd-Singida wakifanya mazoezi mepesi.


Wachezaji wakisalimiana Tayari kwakuanza mechi.


NIMEKUSOGEZEA MATUKIO MUHIMU YALIYOJIRI KATIKA MTANANGE HUO WA KIRAFIKI, TAZAMA VIDEO HII HAPA CHINI

No comments:

Post a Comment