Baada ya mwaka mzima tangu kuchaguliwa, rais wa Tanzania John Pombe Magufuli amefanya ziara ya kwanza ya kiserikali nchini Kenya.
Kulikuwepo uvumi kuwa huenda kuna tofauti kali ya rais huyo na mwenzake wa Kenya hasa baada ya rais Magufuli kukosa kuhudhuria mkutano mkuu wa kibiashara ulioandaliwa jijini Nairobi.
Ziara hiyo ya siku mbili inanuiwa kudhihirisha nia safi kati ya Kenya na Tanzania pamoja na kuimarisha biashara.
Tuesday, November 1, 2016
Magufuli: Huwa Nawasiliana na Rais Kenyatta, Hatuna Bifu Kama Watu Wanavyozani
Tags
# SIASA
Tupe Maoni Yako (Matusi Hapana)
Mwakasege Blog
USIACHE KU LIKE PAGE YETU KWAKUBONYEZA LIKE BUTTON
About siasa
SIASA
Labels:
SIASA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Mahala popote ulipo, unaweza kututumia Habari kupitia namba yetu ya whatsap +255756584473.
No comments:
Post a Comment