AMBER LULU TENA,KAMA ANA NGOMA WATAKUFA WENGI,SIRI ZAKE ZAANIKWA - boazmwakasege.com

MADA MOTO

Friday, July 22, 2016

AMBER LULU TENA,KAMA ANA NGOMA WATAKUFA WENGI,SIRI ZAKE ZAANIKWA

Stori: Hamida Hassan, Ijumaa

Dar es Salaam: Video Queen anayekuja kwa kasi Bongo, Lulu Euggen ‘Amber Lulu’ anadaiwa kuwa na msururu wa wanaume aliotoka nao huku ndani yake wakiwemo mastaa kibao, Ijumaa limenyetishiwa.Shosti wa Amber Lulu aliyeomba jina liwekwe kapuni alisema kuwa, kutokana na figa yake, mdada huyo amekuwa akisarandiwa na midume kibao na kila anayekuwa naye akimuacha, anahamia kwa mwingine.

KUONA PICHA ZOTE ==>BONYEZA HAPA

No comments:

Post a Comment