Watu kadhaa
wa kijiji cha Mikocheni karibu na mapango ya Amboni mkoani Tanga wameuawa usiku
wa kuamkia leo.
Inasemekana
watu waliouawa wanadaiwa kufichua vitendo vya uhalifu kijijini hapo na kwamba
miili ya watu hao waliouawa imepelekwa hospitali ya rufaa ya Mkoani humo.
BONYEZA HAPA >> REAL MADRID YAZIDI KUTABA BARANI ULAYA
Chanzo :
Radio One.
No comments:
Post a Comment